Jay melody
Biography:
Artist/Stage Name: JAY MELODY
Birth Name/Original Spelling: Sharif Said Juma
Birthday: June 12, 1997
Country: Mwananyamala, Dar es Salaam, Tanzania
Occupation: Singer *Songwriter* Music Producer*Musician
Marital:
Partner/Spouse:
Children:
Siblings:
MUSICAL CAREER
Other A.K.A Names: Jay Melody
Origin: Tanzania
Region: East African Artist* Eastern Africa Artist* East Africa Artist*
Languages: Swahili, English
Lyrics:
Genres: Afro Pop*Folk*Bongo Flava* Zouk
Instruments: Keyboard* Guitar
Biography:
Awards: 2
Album/EP:
Videos:
Labels: Epic Records
Years Active: 2018- Present *
Artist Site:
E-Website: www.eollywood.com
EOLLYWOOD* EAEEA-East Afro Entertainment Empire Artistry
EOLLYWOOD* EAEEI-East Afro Entertainment Empire Industry
EOLLYWOOD* EAEEA-East Africa Entertainment Empire Artistry
EOLLYWOOD* EAEEA-East African Entertainment Empire Artistry
JAY MELODY LYRICS & VIDEOS
• Mbali Nawe
• Nakupenda
• Sawa
mbali nawe lyrics
Masikini mimi
Mwenzako mimi
Naumia sana
Japo nishajua mimi
Kuwa sawa na wewe haitawezekana
Hata nikishuka chini, ndo unaniona
Mi mjinga sana
Eti umepatwa nini, mbona hapo mwanzo ulitulia aah
Na wala sio mbali, sio mbali
Tulikua karibu na malengo
Na leo kiutani, kama utani
Umeshindwa kuumaliza mwendo
Na tena haujali, haujali
Ukiondoka utaacha pengo
Hakuna cha habari, nikae mbali
Huku kuachwa bila maelezo
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe
Au kuwa na mie hautamani
Basi niambie kosa gani
Basi niambie jinsi gani
Utakua sawa baby mmh
Nikueleze jinsi gani
Vile nimekuweka moyoni
Hata unipime kwa mizani
Nitajaa kwako honey
Mi naumwa
Siko sawa
Lako penzi ndo yangu dawa
Mi naumwa aah
Siko sawa
Lako penzi ndo yangu dawa
Na wala sio mbali, sio mbali
Tulikua karibu na malengo
Na leo kiutani, kama utani
Umeshindwa kuumaliza mwendo
Na tena haujali, haujali
Ukiondoka utaacha pengo
Hakuna cha habari, nikae mbali
Huku kuachwa bila maelezo
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe
Mbali nawe, mbali nawe
Nakupenda lyrics
Iwe giza baridi na upepo
Iwe kuna mawingu na minyesho
Your body baby joto (joto)
Unafanya nijihisi special
Unanipa sababu ya uwepo
Kando yako we mtoto
My desire we nipe dawa mi mahututi
Sijielewi ooh my God
Shida ni nimekolea penzini
Shida ni baby uko moyoni wewe
Nakupenda we
Nakutaka we
Kwako sijiwezi
Ooh my love
Mpenzi we
Roho yangu we
Kwako sijiwezi
Ooh my love
Akili mwili baby
Hasira zangu navituliza
Ukiongea nasikiliza
Yote sababu ya upendo
Pili pili baby
Vindimu chumvi ya kunyunyiza
Yani uroda kupitiliza
Nimeumaliza mwendo
Kiukweli napendwa nachanganywa
Na haya ma raha
Shida ni nimekolea penzini
Shida ni baby uko moyoni, wewe
Nakupenda we (anhaaa)
Nakutaka we (oh nana nana)
Kwako sijiwezi
Ooh my love (ooh my baby)
Mpenzi we (oh nonono)
Roho yangu we (aaaah yayaya)
Kwako sijiwezi
Ooh my love
Sawa lyrics
Mapenzi tu
Nimepagawa hamjui
Ye kila mara ananifanya silali
Namwaza yeye tu
Anayeweka roho yangu juu
Ana utoto tu
Sema uzuri ananipaga asali
Mi nailamba tu
Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma
Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (sawa), right (sawa), sawa
Huo utamu hasa nikiingia
Akifungua gate naingia
Akipanua neti naingia
Na wala sikwepeshi naingia
Sina akili ya kuchange idea
Hapo hapo nimemng’ang’ania
Hapo hapo nimeshikilia
Na visokorokwinyo mtaumia, naahaa
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma
Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (sawa), right (sawa), sawa

