Jux
Biography:
Artist/Stage Name: Jux
Birth Name/Original Spelling: Juma Mussa Mkambala
Birthday: September 01, 1989
Country: Dar Es Salaam,Tanzania
Occupation: Singer * SongWriter
Marital:
Partner/Spouse: Karen Bujulu
Children:
MUSICAL CAREER
Other A.K.A Names: African Boy
Origin: Singida Region
Region: East African Artist* Eastern Africa Artist* East Africa Artist*
Languages: Swahili, English
Lyrics: Bado Yupo*Enjoy* Nisiulizye
Genres: Bongo Flava* Afropop*R&B* Afro konpa/Compas/ Konpa
Instruments: Vocals
Biography:
Awards: 2
Album/EP:
Videos:
Labels: African Boy
Years Active: 2011- Present *
Artist Site:
E-Website: www.eollywood.com
EOLLYWOOD* EAEEA-East Afro Entertainment Empire Artistry
EOLLYWOOD* EAEEI-East Afro Entertainment Empire Industry
EOLLYWOOD* EAEEA-East Africa Entertainment Empire Artistry
EOLLYWOOD* EAEEA-East African Entertainment Empire Artistry
JUX LYRICS & VIDEOS
• Bado Yupo
• Enjoy
• Nisiulizye
Bado Yupo lyrics
Hello, habari gani?
Hello oh ooh, unaitwa nani?
Hello, uko gizani?
Hello, kuna tatizo gani?
Basi we nieleze
Palipokaza nilegeze
You're so beautiful baby
Ah huendani na mawazo mama
Huwezi kushindana na moyo wako
Usijiumize aah
Mimi sio mbaya wako
Nisikilize
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Kushindana na moyo wake
Bado yupo yupo kwanza (no, no)
Bado yupo yupo sana (eh, yeah)
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Anataka awe peke yake
Bado, ah nah nah nah nah
Hana ulinzi wa moyo tena aah
Wake uaminifu umekufa mazima aah
Mapenzi yamefanya asile
Mapenzi yamefanya asilale
Chochote nachomwambia bure
Anaona nampigia kelele
Ila ati anashukuru Mungu
Alipofika panatosha
Ata na mzigo mzito wa mapenzi
Ameutua amepumzika
Yaani hataki tena
Bado mapemam
Hataki tena
Vurugu za mapenzi zimemchosha
Huwezi kushindana na moyo wako
Usijiumize aah
Mimi sio mbaya wako
Nisikilize
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Kushindana na moyo wake
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Anataka awe peke yake
Peke yake, peke yake
Hana ulinzi wa moyo tena aah
Wake uaminifu umekufa mazima aah
Enjoy lyrics
Hii leo
Acha tu niwaweke wazi
Mubaki na mishangao
Kuhusu haya mapenzi
Nataka kuyaeleza
Na leo
Tena wahiteni paparazi
Warushe kwa mitandao
Siyataki mapenzi
Nataka jipongeza
Unaemwita your baby
Kumbe nae ana baby
Ooh unaemwona kipenzi
Ni mshenzi hakupendi
Ama kweli mtihani
Mambo mengi duniani
Na mi stress siwezi
Ooooh siwezi
Aahh
Bora ni enjoy (mmmmmh)
Maisha mafupi ni simple
Yanini niteseke roho
Jiunge nami upoze koo
Bora ni enjoy
Maisha mafupi ni simple
Yanini niteseke roho (ooh yanini yanini)
Jiunge nami upoze koo (mmmh khoo khoo khoo khoo)
[Diamond Platnumz]
Kama kupenda
Bora nimpende mama yangu (mmmh)
Kama kupendwaa mimi iih
Nitajipenda peke yangu (ooooh)
Kilichoniponza ufala
Kujiona simba kumbe swala
Nikazama kwenye penzi uchwala
Badala ya kusaka miamala
Aiii yooooooo oh
Toka ni date pesa (enhee)
Sa napendeza (enhee)
Na tena naenjoy (enhee)
Na wanangu ma homeboy (enhee)
Ooooh account inasoma (enhee)
Na kamwili kananona (enhee)
We mwenyewe si unaona yani (enhee)
Ai nasema boraaaa
Bora ni enjoy (Piri pi pi pi pi pi pi)
Maisha mafupi ni simple (kirii ka dakitka)
Yanini niteseke roho (yanini niteseke rohoo)
Jiunge nami upoze koo (jiunge na mimi ah)
Bora ni enjoy (piri pi pi pi pi pi pi)
Maisha mafupi ni simple (kirii ka dakitka)
Yanini niteseke roho (aaahh iyeeeeiiii ye)
Jiunge nami upoze koo (jiunge na mimi ah)
Napenda nikilewa
Nipande juu ya meza
Minjonjo
Huku natema kiingereza
Tupande juu ya meza
Tupande juu ya meza
Tupande juu ya meza
Za za za za za
Bora ni Enjoy (piri pi pi pi pi pi pi)
Maisha mafupi ni simple (kirii ka dakitka)
Yanini niteseke roho (oooh yanini yanini)
Jiunge nami upoze koo (oooh khoo khoo khoo khoo)
Jux - Nisiulizwe Lyrics
Yo yo, you’re so fine
Babe (Hey) I do this for you
Aah ah, Mmmh
Verse:
Nahisi, Niko kwenye njozi
Huba limenikolea, Kuamka sitamani (Yee)
Tena nakusihi, Ulilinde penzi
Mwenzako nimenogewa, Hoi tahabani (Hoi tahabani)
Na hata nikiumwa, We ndo unanitibu
Wangu daktari
Kukupenda, Ni wajibu
Nisiulizwe maswali
Baby, Nipe taratibu
Huo utamu asali
Kukupenda ni wajibu
Nisiulizwe no no
Chorus:
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Sababu I Love You
Eeeh
I Love You
Mmmh!
Verse:
Naanzaje kukucheat, nakifata kipi ?
Hakuna jipya duniani, nishafanya utafiti
Tena umewaacha mbale, Ulipo we hawafikii
Maombi yangu toka kale, Nimepata rafiki (Mmmh)
Na hata nikiumwa, We ndo unanitibu
Wangu daktari
Kukupenda, Ni wajibu
Nisiulizwe maswali
Baby, Nipe taratibu
Huo utamu asali
Kukupenda ni wajibu
Nisiulizwe no no!
Chorus:
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Sababu I Love You
Eeeh
I Love You