Ethiopia   Tanzania   Kenya   Uganda   Mozambique   Madagascar   Malawi   Zambia   Zimbabwe   South Sudan   Rwanda   Burundi   Somalia   Eritrea   Mauritius   Djibouti   Reunion   Comoros   Mayotte   Seychelles DR Congo   Haiti   United  States   Egypt   Ghana   Nigeria   South Africa
Jux
Home » KONPA/COMPAS/KOMPA  »  Jux
WhatsApp-Image-2024-04-07-at-2.15.51-AM-1

Jux

Biography:

Artist/Stage Name: Jux

Birth Name/Original Spelling: Juma Mussa Mkambala

Birthday: September 01, 1989

Country: Dar Es Salaam,Tanzania

Occupation: Singer * SongWriter

Marital:

Partner/Spouse: Karen Bujulu

Children:

MUSICAL CAREER

Other A.K.A Names: African Boy

Origin: Singida Region

Region: East African Artist* Eastern Africa Artist* East Africa Artist*

Languages: Swahili, English

Lyrics: Bado Yupo*Enjoy* Nisiulizye

Genres: Bongo Flava* Afropop*R&B* Afro konpa/Compas/ Konpa

Instruments: Vocals

Biography:

Awards: 2

Album/EP:

Videos:

Labels: African Boy

Years Active: 2011- Present *

Artist Site:

EOLLYWOOD* EAEEA-East Afro Entertainment Empire Artistry

EOLLYWOOD* EAEEI-East Afro Entertainment Empire Industry

EOLLYWOOD* EAEEA-East Africa Entertainment Empire Artistry

EOLLYWOOD* EAEEA-East African Entertainment Empire Artistry

JUX LYRICS & VIDEOS

• Bado Yupo
• Enjoy
• Nisiulizye

Bado Yupo lyrics

Hello, habari gani?
Hello oh ooh, unaitwa nani?
Hello, uko gizani?
Hello, kuna tatizo gani?
Basi we nieleze
Palipokaza nilegeze
You're so beautiful baby
Ah huendani na mawazo mama
Huwezi kushindana na moyo wako
Usijiumize aah
Mimi sio mbaya wako
Nisikilize
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Kushindana na moyo wake
Bado yupo yupo kwanza (no, no)
Bado yupo yupo sana (eh, yeah)
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Anataka awe peke yake
Bado, ah nah nah nah nah
Hana ulinzi wa moyo tena aah
Wake uaminifu umekufa mazima aah
Mapenzi yamefanya asile
Mapenzi yamefanya asilale
Chochote nachomwambia bure
Anaona nampigia kelele
Ila ati anashukuru Mungu
Alipofika panatosha
Ata na mzigo mzito wa mapenzi
Ameutua amepumzika
Yaani hataki tena
Bado mapemam
Hataki tena
Vurugu za mapenzi zimemchosha
Huwezi kushindana na moyo wako
Usijiumize aah
Mimi sio mbaya wako
Nisikilize
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Kushindana na moyo wake
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Bado yupo yupo kwanza
Bado yupo yupo sana
Anataka awe peke yake
Peke yake, peke yake
Hana ulinzi wa moyo tena aah
Wake uaminifu umekufa mazima aah

Enjoy lyrics

Hii leo
Acha tu niwaweke wazi
Mubaki na mishangao
Kuhusu haya mapenzi
Nataka kuyaeleza
Na leo
Tena wahiteni paparazi
Warushe kwa mitandao
Siyataki mapenzi
Nataka jipongeza
Unaemwita your baby
Kumbe nae ana baby
Ooh unaemwona kipenzi
Ni mshenzi hakupendi
Ama kweli mtihani
Mambo mengi duniani
Na mi stress siwezi
Ooooh siwezi
Aahh
Bora ni enjoy (mmmmmh)
Maisha mafupi ni simple
Yanini niteseke roho
Jiunge nami upoze koo
Bora ni enjoy
Maisha mafupi ni simple
Yanini niteseke roho (ooh yanini yanini)
Jiunge nami upoze koo (mmmh khoo khoo khoo khoo)
[Diamond Platnumz]
Kama kupenda
Bora nimpende mama yangu (mmmh)
Kama kupendwaa mimi iih
Nitajipenda peke yangu (ooooh)
Kilichoniponza ufala
Kujiona simba kumbe swala
Nikazama kwenye penzi uchwala
Badala ya kusaka miamala
Aiii yooooooo oh
Toka ni date pesa (enhee)
Sa napendeza (enhee)
Na tena naenjoy (enhee)
Na wanangu ma homeboy (enhee)
Ooooh account inasoma (enhee)
Na kamwili kananona (enhee)
We mwenyewe si unaona yani (enhee)
Ai nasema boraaaa
Bora ni enjoy (Piri pi pi pi pi pi pi)
Maisha mafupi ni simple (kirii ka dakitka)
Yanini niteseke roho (yanini niteseke rohoo)
Jiunge nami upoze koo (jiunge na mimi ah)
Bora ni enjoy (piri pi pi pi pi pi pi)
Maisha mafupi ni simple (kirii ka dakitka)
Yanini niteseke roho (aaahh iyeeeeiiii ye)
Jiunge nami upoze koo (jiunge na mimi ah)
Napenda nikilewa
Nipande juu ya meza
Minjonjo
Huku natema kiingereza
Tupande juu ya meza
Tupande juu ya meza
Tupande juu ya meza
Za za za za za
Bora ni Enjoy (piri pi pi pi pi pi pi)
Maisha mafupi ni simple (kirii ka dakitka)
Yanini niteseke roho (oooh yanini yanini)
Jiunge nami upoze koo (oooh khoo khoo khoo khoo)

Jux - Nisiulizwe Lyrics

Yo yo, you’re so fine
Babe (Hey) I do this for you
Aah ah, Mmmh

Verse:
Nahisi, Niko kwenye njozi
Huba limenikolea, Kuamka sitamani (Yee)
Tena nakusihi, Ulilinde penzi
Mwenzako nimenogewa, Hoi tahabani (Hoi tahabani)
Na hata nikiumwa, We ndo unanitibu
Wangu daktari
Kukupenda, Ni wajibu
Nisiulizwe maswali
Baby, Nipe taratibu
Huo utamu asali
Kukupenda ni wajibu
Nisiulizwe no no

Chorus:
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Sababu I Love You
Eeeh
I Love You
Mmmh!

Verse:
Naanzaje kukucheat, nakifata kipi ?
Hakuna jipya duniani, nishafanya utafiti
Tena umewaacha mbale, Ulipo we hawafikii
Maombi yangu toka kale, Nimepata rafiki (Mmmh)
Na hata nikiumwa, We ndo unanitibu
Wangu daktari
Kukupenda, Ni wajibu
Nisiulizwe maswali
Baby, Nipe taratibu
Huo utamu asali
Kukupenda ni wajibu
Nisiulizwe no no!

Chorus:
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Kwako nitang’ang’ana (Nitang’ang’ana nawe)
Sababu I Love You
Eeeh
I Love You