Ethiopia   Tanzania   Kenya   Uganda   Mozambique   Madagascar   Malawi   Zambia   Zimbabwe   South Sudan   Rwanda   Burundi   Somalia   Eritrea   Mauritius   Djibouti   Reunion   Comoros   Mayotte   Seychelles DR Congo   Haiti   United  States   Egypt   Ghana   Nigeria   South Africa
Zuchu
Home » KONPA/COMPAS/KOMPA  »  Zuchu
WhatsApp-Image-2024-04-02-at-3.14.15-PM

Zuchu

Biography:

Artist/Stage Name: ZUCHU

Birth Name/Original Spelling: Zuhura Othman Sound

Birthday: November 22, 1993

Country: Zanzibar, Tanzania

Occupation: Singer * Songwriter*Dancer

Partner/Spouse:

Marital:

Children:

MUSICAL CAREER

Other A.K.A Names: Zuchu

Origin: Tanzania

Languages: Swahili, English

Lyrics: Sukari*Zawad

Genres: Bongo Flava**Konpa/Compas/Kompa*Baibuda

Instruments: Piano

Biography:

Awards: 5 Tanzania Music Awards

Album/EP:

Videos:

Labels: WCB Wasafi

Years Active:

Artist Site:

EOLLYWOOD* EAEEA-East Afro Entertainment Empire Artistry

EOLLYWOOD* EAEEI-East Afro Entertainment Empire Industry

EOLLYWOOD* EAEEA-East Africa Entertainment Empire Artistry

EOLLYWOOD* EAEEA-East African Entertainment Empire Artistry

ZUCHU LYRICS & VIDEOS

• Cheche
• Sukari
• Zawadi

Cheche lyrics

Iii...arira rarira
Rarari rarari
Iyaa, iyaa iyaa eey
Tiaria, rari rari eey
(Mocco)
Mi amor, te amo
Le te quiero, te quiero
Yaliyomo yamo
Hujazoa penzi kwa beru
Mwenzako migulo chengele
Wanalia ugoya wa nje bwerere
Sema upendacho utakula jegele
Kinyama kulumagia kam nkuchumie tembele
Na bila huruma unanijuza
Kwamba unayabaruza
Mi mtoto unanikuza
Wee aah
Unanichezesha kwaito
Kwa koro waito
You dey give me banana
Your love is stamana
Unachezesha kwaito
Kwa koro waito
My baby twachezeshana
Che! Che! Cheche rumba che! Che!
Hey tunashikana shikana
Che! Che! Cheche rumba che! Che!
Tunachezeshana
Che che che rhumba che
Che! Che! Cheche rumba che! Che!
Zinatoka che che tukigusana gusana
Che! Che! Cheche rumba che! Che!
[Diamond Platnumz]
Eeeh unapendaga chocolate (Enhe)
Mavanilla nilla (Enhe)
Tam tam sweety ety (Enhe)
Nikichenga ka roja Mila (Enhe)
Brrr Okey!
Penzi koleza uje wa Dubai
Huba lipambe moto
Kama mafuta kwa karai
Okey na ulivyo katoto lito to!
Leo mpaka kokoriko ko!
Ghetto ni kulamba mwiko ko!
Sakafu hadi kwata niko ko!
Korikoko mama utaniua, nikomeshe!
Ya leo kiboko, nikomeshe!
Imezidi utamu, nikomeshe!
She! She! She! Komeshe!
Asa kukuacha wewe (Nitawezaja?)
Niende kwa mwengine (Nitawezaja?)
Ujeuri sina
Jinsi twachezeshana
Che! Che! Cheche rumba che! Che!
Hey tunashikana shikana
Che! Che! Cheche rumba che! Che!
Tunachezeshana
Che che che rhumba che
Che! Che! Cheche rumba che! Che!
Zinatoka che che tukigusana gusana
Che! Che! Cheche rumba che! Che!
Na kakara zako kinkiri
Kinkiri kanka!
Kinkiri kankara kinkiri
Zanimalizaga
Eeh na kakara zako kinkiri
Kinkiri kanka!
Venye unavyo kinkiri
Kinkiri kan kinki
Kinkiri kanka
Ki! Ka! kirinkaka!
Unanichezesha kwaito
Kwa koro waito
You dey give me banana
Your love is stamana
Unachezesha kwaito
Kwa koro waito
My baby twachezeshana

Sukari lyrics

Eyoo Trone
(Iyo Lizer)
Eti nimemlambisha
Ananiambia chombeza (chombeza)
Tena nikiizidisha
Ananiambia koleza (koleza)
Nikitaka kusitisha
Ananiambia ongeza (ongeza)
Japo imedhibitishwa
Ila itampoteza
Ikipanda ni balaa (naogopa)
Ikishuka ndo hatari (naogopa)
Asijepata madhara (naogopa)
Akaikosa na hali (naogopa)
Ladha yake msala (naogopa)
Shira ya Kizanzibari (naogopa)
Na mi simpi mi wala
Akitaka nampa
Aii sukari (nampatia)
Ah sugar sukari (nampatia)
Sukari (nampatia)
Ah sugar sukari (nampatia)
Sukari (nampatia)
Sukari (nampatia)
Ah sugar sukari (nampatia)
Yelele, yelele...
Na akilia njaa
Ju njaa sifanyi ajizi
Namjazia jar
Ju jaa na vitangawizi
Baba chanja, baba chanja eh (eeeh)
Chukua vyote chukua (eeeh)
Vitafune nganja nganja (eeeh)
Chagua mwaya chagua (kula)
Ujiboosti na karanga ee (eeeh)
Tuliza na kitumbua (eeeh)
Jihadhari na majanga wee
Usije ukaugua maana
Ikipanda ni balaa (naogopa)
Ikishuka ndo hatari (naogopa)
Asijepata madhara (naogopa)
Akaikosa na hali (naogopa)
Ladha yake msala (naogopa)
Shira ya Kizanzibari (naogopa)
Na mi simpi mi wala
Akitaka nampa
Aii sukari (nampatia)
Ah sugar sukari (nampatia)
Sukari (nampatia)
Ah sugar sukari (nampatia)
Sukari (nampatia)
Sugar sukari (nampatia)
Sukari (nampatia)
Ah sugar sukari (nampatia)
Nimroge kwanini kashaninogea
Dambua, dambua
Utamu wa sukari ni tamu kolea
Dambua, dambua
I say my boo dambua (dambua)
We dambua (dambua)
Halua halua (dambua)
We dambua (dambua)
Nasema da dambua (dambua)
We dambua (dambua)
Nawa kama unafua (dambua)
Kiguru nyanyua (dambua)

Zawadi lyrics

Mon chéri, je t'aime beaucoup
Penzi lako gundi nimenasa
Mon chéri, kama uchawi upo
Mganga wako fundi hasa hasa
Eh mwavuli wangu
Moyo umeufunika (wewe ndo)
Kiboko yangu
Unaejua pakunishika
Kama mapenzi pili pileey
Lako laniwasha in a good way
Nshakupa moyo na mwileey
Uwe wako uchukue
Pokea (pokea)
Zawadi (zawadi)
Ya upendo wangu
Ya upendo wanguu my love
[Dadiposlim]
Ma chérie, chérie
Mu ungiya baridi weni komeya
Mi uka makini
Matso yangu ye hu one hu fumbariya
Zidisha ye zana
Bawe huni lisi yilikiki kazana (kazana)
Kama mapenzi pili pileey
Lako laniwasha in a good way
Nshakupa moyo na mwileey
Uwe wako uchukue
Pokea (pokea)
Zawadi (zawadi)
Ya upendo wangu
Ya upendo wanguu my love
Njoo tucheze kompaa (kompaa)
Mh mhh ahh (oh baby)
We lizer weweee
Ah yah yah yah yah
Eeh warereee (wakachaa)
Wakachaa (wareree)
Mh mh mh mh mh aah
Baby pokea (pokea)
Zawadi (zawadi)
Ya upendo wangu
Ya upendo wanguu my love
Oh, my love.